• Contact Us
  • Mail To: info@jambonewsnetwork.com
Monday, March 8, 2021
  • Home
  • News
    • Business
    • Politics
    • Sports
    • Health
  • Lifestyle
    • Entertainment
    • Events
  • Gallery
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • International
  • Swahili Hub
No Result
View All Result
LISTEN
WATCH
Jambo News Network
  • Home
  • News
    • Business
    • Politics
    • Sports
    • Health
  • Lifestyle
    • Entertainment
    • Events
  • Gallery
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • International
  • Swahili Hub
No Result
View All Result
LISTEN
WATCH
Jambo News Network
No Result
View All Result
LISTEN WATCH
ADVERTISEMENT
Home Swahili Hub

Mabanda ya filamu kuchangia kuenea kwa TB.

Haramo Ali by Haramo Ali
June 19, 2018
in Swahili Hub
0 0
0
Mabanda ya filamu kuchangia kuenea kwa TB.
Share on FacebookShare on Twitter

Msongamano wa wanaume katika mabanda ya filamu msimu huu wa michuano ya kombe la dunia huenda ukachangia katika maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu.

Jobius Africa

Hali hiyo inatokana na ukosefu wa hewa safi katika mabanda hayo sawa na msongamano wa watu wengi ili kutazama dimba hilo la mwezi mzima nchini Urusi.

Afisa anayesimamia kitengo cha hamasa na tiba ya maradhi ya kifua kikuu katika maeneo bunge ya Kisauni na Nyali Bi Mary Katana amewataja wanaume kama walio katika hatari ya maambukizi hayo hasa kutokana na tabia yao ya kukongamana pamoja katika mabanda hayo na maeneo mengine ya burudani.

Kulingana na Bi Katana, huenda baada ya michuano ya kombe la dunia visa vya maambukizi ya ugonjwa wa TB vikaongezeka katika eneo hilo kutokana na mfumo huu wa msimu.

“Sio msongamano tu katika mabanda hayo bali pia wanaume wanakisiwa kutojishughulisha na ulaji bora wa vyakula vilivyo na virutubisho ikilinganishwa na wanawake hivyo basi kujiweka katika hatari ya maambukizi,” akadokeza Bi Katana.

Mtaalam huyo wa tiba ya kifua kikuu hata hivyo ametaja moja wapo wa changizo la maambukizi ya TB haswa katika gereza la Shimo la Tewa ni uhaba wa nafasi na msongamano wa wafungwa kwa upande za wanaume, wanawake na watoto.

“Hata hivyo, kitengo cha kukabiliana na TB kinaendeleza hamasa mashinani, matibabu kwa wanaougua na kuwafutialia wale waliyo kwenye orodha ya wagonjwa wa TB ili kuhakikisha wanakamilisha matibabu,” akasisitiza Afisa huyo.

Bi Katana amewataka wakaazi wa Kisauni na Nyali kuwa makini mno na afya zao na kutembelea hospitali za umma ili kupimwa TB akidokeza kwamba kukohoa majuma matatu mtawalia na kutokwa na jasho jingi nyakati za usiku huenda ikawa ishara kamili ya ugonjwa wa TB.

Amesema maeneo ya Kisauni na Nyali yana zaidi ya wagonjwa elfu moja wa kifua kikuu huku 28 kati yao wakiugua TB sugu inayohitaji tiba maalum ya hadi mwaka mmoja na jumla ya sindano nane kupona.

Post Views: 229
Haramo Ali

Haramo Ali

Please login to join discussion
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Teacher who savagely pinched helpless pupil charged

Teacher who savagely pinched helpless pupil charged

February 4, 2019
Most Influential Coastal Persons 2018

Most Influential Coastal Persons 2018

December 31, 2018
The Msambweni by-election shame!

The Msambweni by-election shame!

December 15, 2020
We’ll not go ‘vulgar’ to pull crowd, says Shirko

We’ll not go ‘vulgar’ to pull crowd, says Shirko

December 31, 2018
Human rights Journalist weds in a glamorous Islamic ceremony.

Human rights Journalist weds in a glamorous Islamic ceremony.

9
Journalism, career with vast challenges- Solomon Zully reveals

Journalism, career with vast challenges- Solomon Zully reveals

5
Limit digital space for children, clerics urge

Limit digital space for children, clerics urge

4

Involve youth in fighting Violent extremism – Usama

3
Spiced Monday!

Spiced Monday!

March 8, 2021
Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

March 7, 2021
When ‘Handshake’ falls apart

When ‘Handshake’ falls apart

March 7, 2021
Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

March 5, 2021

Recommended

Spiced Monday!

Spiced Monday!

March 8, 2021
Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

March 7, 2021
When ‘Handshake’ falls apart

When ‘Handshake’ falls apart

March 7, 2021
Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

March 5, 2021

Shortly About Us

Jambo News Network -Is an independent News and features platform that aims at giving our readers and viewers fresh articles, Videos, Interviews and Documentaries every time.

Contact Us

Top Categories

  • Business
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • Health
  • International
  • Lifestyle
    • Entertainment
  • News
  • Politics
  • Sports
  • Swahili Hub
  • Uncategorized
  • Video

Story Tags

Football (1)KNBS (1)Sports (1)

Download Our App

Download Our App

Recent News

Spiced Monday!

Spiced Monday!

March 8, 2021
Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

March 7, 2021

Copyright © 2019 Jambo News Network | Use of this site constitutes acceptance of our Terms of Use and Privacy Policy | Powered By: Flexacore Labs

No Result
View All Result
  • Home
  • News
    • Business
    • Politics
    • Sports
    • Health
  • Lifestyle
    • Entertainment
    • Events
  • Gallery
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • International
  • Swahili Hub

Copyright © 2019 Jambo News Network | Use of this site constitutes acceptance of our Terms of Use and Privacy Policy | Powered By: Flexacore Labs

Login to your account below

Forgotten Password? Sign Up

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In