• Contact Us
  • Mail To: info@jambonewsnetwork.com
Monday, March 8, 2021
  • Home
  • News
    • Business
    • Politics
    • Sports
    • Health
  • Lifestyle
    • Entertainment
    • Events
  • Gallery
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • International
  • Swahili Hub
No Result
View All Result
LISTEN
WATCH
Jambo News Network
  • Home
  • News
    • Business
    • Politics
    • Sports
    • Health
  • Lifestyle
    • Entertainment
    • Events
  • Gallery
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • International
  • Swahili Hub
No Result
View All Result
LISTEN
WATCH
Jambo News Network
No Result
View All Result
LISTEN WATCH
ADVERTISEMENT
Home Swahili Hub

Mwanahabari wa Mombasa ashinda tuzo la makala bora barani Afrika.

Ahmed Omar by Ahmed Omar
October 16, 2018
in Swahili Hub
0 0
0
Mwanahabari wa Mombasa ashinda tuzo la makala bora barani Afrika.
Share on FacebookShare on Twitter

Mwanahabari nguli wa kutoka idhaa ya Radio Rahma Mjini Mombasa Ruth keah ametunukiwa tuzo ya makala bora barani Afrika.

Ruth Keah ambaye pia ni mhariri katika idhaa hiyo ya Rahma, aliibuka kidedea katika mashindano ya kwanza ya waandishi wa habari katika kitengo cha kukabiliana na hatari ya maafa wakati wa majanga yaliyoandaliwa mjini Tunis Nchini Tunisia.

Makala hayo yaliyokuwa yamesheheni utafiti wa kina, ubunifu katika uandishi na utayarishi wake sawia na uweledi ulioweka wazi hali halisi ya athari za mabadiliko ya anga kutokana na harakati za wanadamu zinazokisiwa kuchangia pakubwa kukauka kwa Mto Voi ulioko katika kaunti ya Taita Taveta.

Ushindi huo katika kitengo cha redio ulikuwa na upinzani mkali ikizingatiwa kuwa zaidi ya makala 100 yaliwasilishwa na wanahabari tofauti kutoka mataifa mbali mbali barani Afrika na hata nchi chini ya milki za Kiarabu.

Hata hivyo mwanahabari huyo alielezea mshtuko alioupata pale alipoteuliwa kuwa mshindi wa makala hayo akidai kuwa kamwe hakutarajia.

“Moyo wangu ulisimama kwa nukta sekunde niliposikia jina langu likitangazwa kama mshindi, sikudhania wala kutarajia kutokana na ushindani mkali katika kitengo hiki,” alisema Ruth akiwa na tabasamu usoni.

“Shukrani zote ni kwa Mungu pamoja na kikosi kizima cha Radio Rahma kwa kunipa nafasi na usaidizi kufanikisha makala haya na hii leo kushinda tuzo hili,” aliongeza Ruth.

Aidha Mwanahabari huyo alibaini changamoto alizopitia katika kutayarisha makala hayo licha ya kumpa fursa ya kutangamana na wananchi mbali mbali na kujifunza mengi katika tasnia ya uwanahabari.

Miongoni mwa tuzo alizopata katika ushindi huo ni kikombe pamoja na safari ya kwenda Geneva mwaka ujao kushiriki katika kongamano la kimataifa la washikadau linalotarajiwa kuangazia mbinu za kukabiliana na majanga na kubadilika kwa hali ya anga duniani.

Baadhi ya tuzo zilizofika nchi za afrika mashariki ni kwa wanahabari kutoka taifa la Uganda na Misri.

Itakumbukwa kuwa mwanahabari Ruth Keah alitunukiwa tuzo la mtangazaji bora kwenye kitengo cha ICT sawia na watatu bora katika kitengo cha biashara kwenye sherehe zilizoandaliwa na shirika la Wanahabari nchini Media Council Of Kenya tarehe 3 August Mwaka huu.

Jobius Africa
Post Views: 257
Ahmed Omar

Ahmed Omar

Please login to join discussion
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Teacher who savagely pinched helpless pupil charged

Teacher who savagely pinched helpless pupil charged

February 4, 2019
Most Influential Coastal Persons 2018

Most Influential Coastal Persons 2018

December 31, 2018
The Msambweni by-election shame!

The Msambweni by-election shame!

December 15, 2020
We’ll not go ‘vulgar’ to pull crowd, says Shirko

We’ll not go ‘vulgar’ to pull crowd, says Shirko

December 31, 2018
Human rights Journalist weds in a glamorous Islamic ceremony.

Human rights Journalist weds in a glamorous Islamic ceremony.

9
Journalism, career with vast challenges- Solomon Zully reveals

Journalism, career with vast challenges- Solomon Zully reveals

5
Limit digital space for children, clerics urge

Limit digital space for children, clerics urge

4

Involve youth in fighting Violent extremism – Usama

3
Spiced Monday!

Spiced Monday!

March 8, 2021
Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

March 7, 2021
When ‘Handshake’ falls apart

When ‘Handshake’ falls apart

March 7, 2021
Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

March 5, 2021

Recommended

Spiced Monday!

Spiced Monday!

March 8, 2021
Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

March 7, 2021
When ‘Handshake’ falls apart

When ‘Handshake’ falls apart

March 7, 2021
Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

Samburu Elders sign a declaration to end FGM and child marriages.

March 5, 2021

Shortly About Us

Jambo News Network -Is an independent News and features platform that aims at giving our readers and viewers fresh articles, Videos, Interviews and Documentaries every time.

Contact Us

Top Categories

  • Business
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • Health
  • International
  • Lifestyle
    • Entertainment
  • News
  • Politics
  • Sports
  • Swahili Hub
  • Uncategorized
  • Video

Story Tags

Football (1)KNBS (1)Sports (1)

Download Our App

Download Our App

Recent News

Spiced Monday!

Spiced Monday!

March 8, 2021
Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

Nassir pleads more time for Buxton tenants to vacate

March 7, 2021

Copyright © 2019 Jambo News Network | Use of this site constitutes acceptance of our Terms of Use and Privacy Policy | Powered By: Flexacore Labs

No Result
View All Result
  • Home
  • News
    • Business
    • Politics
    • Sports
    • Health
  • Lifestyle
    • Entertainment
    • Events
  • Gallery
  • Head On
    • Gender
    • Humanitarian
  • International
  • Swahili Hub

Copyright © 2019 Jambo News Network | Use of this site constitutes acceptance of our Terms of Use and Privacy Policy | Powered By: Flexacore Labs

Login to your account below

Forgotten Password? Sign Up

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In